MSETO BLOG
HABARIKA ELIMIKA BURUDIKA
OPERESHENI SAKA WAGANGA YAANZA MKOANI KAGERA
Serikali imeanzisha rasmi Operesheni ya kuwasaka waganga wa kienyeji na wapiga ramli mkoani Kagera ikiwa ni harakati za kutokomeza vitendo vya mauji ya watu wenye ulemavu wa ngozi vinavyodaiwa kufanywa na waganga hao.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment