NINI ,MATOKEO CHANYA YA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania  Mh Mizengo painda leo anatarajia kuzindua ripoti ya serilkali ya mpango wa matokeo makubwa sasa yaani Big Results Now {BRN} kwa mwaka 2013/2014
Je wewe kama mwananchi unafikiri ni yapi matokeo chanya ya mpango huu hasa kwa sekta ya Kilimo pamoja na Elimu nchini?




















Toa maoni yako

No comments: