DI MARIA ALIWEKA KASIRI LAKE SOKONI

Kiungo wa Manchester United muagentina Angel Di Maria ametangaza kulipiga bei jumba lake la kifahari alilolinunua wakati anajiunga na klabu hiyi akitokea Real Madrid mwaka 2014



Jumba hilo lililopo katika jiji la Manchenster linauzwa kwa kititita cha Euro Milioni 4.15 


Hapa ni eneo la nje la jumba hilo






Hili ni bwawa la kuogelea lililopo ndani ya jumba hilo

Hii ni sehemu ya mazoezi


Hiki ni moja kati ya vyumba vya kulala


Hii ni sehemu ya kuogea



No comments: