LOWASA SIJATENGENEZA MAKUNDI

Waziri mkuu wa zamani ambae pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa amesema uvumi ulioenea kuwa makundi mbalimbali yakiwemo ya viongozi wa dini yanayojitokeza kumshauri atangaze nia ya kugombea nafasi ya  uraisi katika uchaguzi mkuu wa oktoba mwaka huu kuwa sio kweli na yeye hana uwezo wa kuyalipa makundi yote hayo




Lowasa amesema kuwa hizo ni taarifa za kipuuzi kwani yeye hana uwezo wa kuyalipa makundi hayo, pia ameongeza kuwa watu hao wana imani naye na wanamapenzi na nchi yao.



Mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa






No comments: