Waziri mkuu wa zamani ambae pia ni mbunge wa jimbo la Mondoli Mh Edard Lowassa amepongeza kazi kubwa inayofanywa na katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Nd Abulrahmani Kinana pamoja na Katibu wa Halamashauri kuu ya chama hicho (NEC) Nape Nnauye katika kufanya ziara ambazo amedai zinaimarisha chama hicho
Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa
akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Manyara Ndugu Joel Bendera wakati wa
mapokeizi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kutoka kushoto
ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafu Chiku Galawa, Mbunge wa jimbo
la Babati vijijini Mh. Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal
JituSon na Mkuu wa wilaya ya Babati Ndugu Chrispin Meela.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo na Mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Lowassa, Kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa viti maalum kupitia CCM
Ndugu Namelok Sokoine wakati alipowasili katika mji wa Makuyuni wilayani
Monduli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na mbunge wa jimbo la Monduli Mh. Edward Loawassa wakisikiliza taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasha umeme katika kijiji cha Lolkisale ambao umesambazwa na REA Mamlaka ya Umeme Vijijini.
Mh. Edward Lowassa
amewashukuru na kuwapongeza Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye kwa
kazi ambayo wanakifanyia chama cha Mapinduzi CCM “Hongereni Sana Hata
hivyo jimbo la Monduli liko salama mikononi mwa CCM”. Amesema Lowassa.






No comments:
Post a Comment