TSH BIL 1.6 ZAPATIKANA HARAMBEE YA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI

Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete jana usiku aliwangoza mamia ya watu waliohudhuria katika harambee ya ujenzi wa chuo kikuu cha tumaini kwenye ukumbi wa Diamond jubilee jijini Dar es salaam na kufanikisha kupatikana kwa Sh bilioni 1.6













Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wakuu wa majimbo ya  KKKT  wakiwemo wachungaji, wainjilisti na wafanyakazi wa parish pamoja na viongozi wengine


























Rais Kiikwete akipongezwa kwa kufanikisha harambee hiyo








































Rais Kikwete katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi ya harambee hiyo iliyoongozwa na mwenyekiti wa wake Mzee Arnold Kilewo (wa kwanza kulia walioketi)  mara baada ya harambee hiyo




No comments: