MAMBO YA APPLE HAYO

Kampuni ya kimataifa ya vifaa vya kielektroniki ya APPLE kesho inatarajia kutangaza bei rasmi ya saa zao mpya walizozizindua hivi karibuni

saa hizo ambazo zina uwezo wa kufanya kazi kupitia Retina ya jicho zinatarajiwa kuuzwa kwa Dolla 349 ambazo ni zaidi ya laki sita na elfu arobaini kwa pesa za kitanzania


Hizi ndio saa mpya za APPLE





No comments: