NACTE YSHUSHA RUNGU YAVIFUNGIA VYUO ZAIDI YA 40

Zaidi ya vyuo 40 vya binafsi na vile vya serikali vimefungiwa na baraza la taifa la elimu ya juu NACTE kutokuendelea kutoa elimu ya juu kutokana na kushindwa kutimiza masharti na vigezo walivyopangiwa na baraza hilo katika mchakato mzima wa kutoa elumu ya juu.



Uamuzi wa kufungiwa vyuo hivyo visiendelee kutoa elimu ya juu vikiwemo vyuo vinavyotoa taaluma ya ualimu hatua ya kuvifungia moja na wateandelea kuvifuatilia vyuo vyote batili ambavyo vinaendelea kutoa elimu ya juu bila kufuata taratibu zote za nacte.

















No comments: