PISTORIUS AGOMEA MSOSI GEREZANI

Mwanariadha mlemavu wa South Afrika Osca Pistorius amegoma kula chakula cha gerezani kwa kuhofia kuwekewa sumu na wafungwa wenzie ndani ya gereza hilo.

Pistorius

Gereza la Death Island, South Africa alikofungwa mwanariadha mlemavu Oscar Pistorius lilimpa uhuru kwenye baadhi ya vitu mwanariadha huyo, ikiwemo kuwasiliana kwa simu, kutembelewa na wageni na hata kusikiliza redio, baadhi ya wafungwa waliona kama anapendelewa.

Pistorius na aliekua mpenzi wakeReeva Steenkamp

Oscar ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitano kwa kosa na kumuua bila kukusudia mpenzi wake Reeva Steenkamp amegoma kuendelea kula chakula cha gerezani ambapo mgomo huo alioufanya umemfanya mwili 
wake kudhoofika.

Pistorius akiwa kwenye majukumu yakle





No comments: