UKWELI WA PICHA ZA DIMPOZI NA WEMA HUU HAPA

Wasanii wawili walio kuwa kwenye head line kwa kipindi cha muda mrefu hapa namzungumzia staa wa muziki wa Bongo fleva Ommy Dimpoz pamoja na Staa wa movie za kibongo Wema Sepetu hatimaye ukweli wa  picha zao umejulikana





 
 Ommy dimpoz amesema picha hizo ambazo watu walikuwa wanaziona, ni baadhi ya vipande vya wimbo wake mpya ambao anatarajia kuutoa leo na ameomba mashabiki wajiandae kwa wimbo huo kwani maswali walio kuwa wanajiuliza watajipatia majibu kupitia wimbo huo wa WANJERA
















No comments: