WAGANGA 32 WATIWA MBARONI GEITA

Jeshi la polisi mkoani Geita limewatia mbaroni waganga wa kienyeji 32 wanaopiga ramli chonganishi katika msako mkali ulioanza hivi karibuni ili kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi pamoja na vikongwe















Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufanya msako na kuwakamata waganga hao, Kamanda wa polisi mkoani Geita  Sacp Joseph Konyo (pichani juu) alisema wakati sasa umefika wakuhakikisha vitendo vya mauaji vinavyotokanan na imani za kishirikina vinatokomezwa kabisa























Wananchi wa mkoa wa Geita wamepongeza hatua ya serekali kuwachukulia hatua watuhumiwa wote wanaopatikana na tuhuma za mauaji yanayotokana na imani za kishirikina




No comments: